Thursday 26 November 2015

UEFA yazidi kushika kasi Chelsea ,Arsenal na Man United Mpela mpela

 
Chelsea star Oscar celebrates with the ball under his shirt after scoring in the win over Maccabi Tel-Aviv
    













      Oscar wa Chelsea akishangilia Goli
 
Mechi za makundi za michuano hiyo ziliendelea tena usiku wa jana kwa michezo kadhaa katika hatua ya makundi.
Klabu ya Malmo imeambulia kichapo cha mabao 5-0 dhidi ya Paris Saint Germain ya ufaransa, Shakhtar Donetsk ikichapwa bao 4-3 na Real Madridi.
CSKA Moscow imeambulia kipigo cha mabao 2-0 na Wolf-Sburg, Manchester United ikitoshana nguvu na PSV Eindhoven bila ya kufungana.

Manchester United duo Jesse Lingard (left) and Wayne Rooney (right) show their frustrations on Wednesday
 Manchester United duo Jesse Lingard (kushoto) na Wayne Rooney (kulia)

 Kwingineko FC Astana imetoka sare ya bao 2-2 na Benfica, Atletico Madrid imeifunga Galatasaray bao 2-0.
Borussia Moenche-ngladbach imeibamiza sevilla bao 4-2 , huku Vijukuu vya turini Juventus waikiicha Manchester City bao 1-0.
Mechi hizo za Uefa hatua ya makundi zinatarajia kuendelea tena hapo December 08 mwaka huu kwa michezo miwili ambapo Paris St Germain itaikabili Shakhtar Donetsk.
Na Real Madrid itakuwa ikimenyana na Malmö zikiwa ni mechi za kundi A.
 Mesut Ozil celebrates his goal which helped Arsenal beat Zagreb and keep their hopes of progression alive
        Mesut Ozil wa Arsenal akishangilia Goli

No comments:

Post a Comment