Wednesday 11 November 2015

Wataalamu wa Afya wasema kinga ya utii wa mgongo yaleta mafanikio makubwa

 














Wataalamu wa afya wanasema mpango wa chanjo kwa umma dhidi ya homa ya uti wa mgongo barani Afrika umepata mafanikio makubwa.
Zaidi ya watu milioni mbili walipata kinga dhidi ya maradhi hayo katika nchi zipatazo 16 barani Afrika, kutoka Gambia mpaka Ethiopia.

 
          Kinga ya Utii wa Mgongo
 Shirika la Afya Duniani limesema katika kipindi cha mwaka 2013 kulikuwa na wagonjwa wanne tu, katika bara hilo ambalo awali liliweka rekodi ya kuwa na maelfu ya vifo vinavyotokana na ugonjwa huo, kila mwaka.
Kampeni ya kupambana na ugonjwa huo ilianza mwaka 2010.




No comments:

Post a Comment