Thursday 10 December 2015

Full Time Matokeo yote ya Uefa champions league(+picha na uchambuzi) yapo hapa

Michuano ya klabu bingwa ulaya Hatua ya makundi imehitimishwa jana usiku kwa michezo mbalimbali ambapo katika mechi za kundi D, Bayer Leverkusen imegawana pointi na Barcelona kufuatia sare ya bao 1–1, Olympiakos wakiwa nyumbani dhidi ya Arsenal wakaambulia kichapo cha mabao 3-0 ambayo yamefungwa na mchezaji Olivier Girioud ikiwa ni Hat-trick kwa mchezaji huyo.
Chelsea wakiwa nyumbani Stamford Bridge wao wametakata kwa ushindi wa mabao 2 – 0 dhidi ya FC Porto, Valencia imechapwa bao 2-0 na Lyon,
FC Roma imetoshana nguvu na BATE Borislov baada ya sare ya kutofungana 0-0, Bayern Munich imeichapa Dinamo Zagreb bao 2-0, Dynamo Kiev imewafunga Macabbi Tel-Aviv bao 1–0 na KAA Gent imeifunga Zenit bao 2–1 .
Kwa matokeo hayo sasa Timu za Real Madrid, Wolfsburg, Atletico Madrid, Man City, Barcelona, Bayern Munich, Chelsea na Zenit ndio timu ambazo zimeongoza katika makundi na kuungana na timu nyingine katika hatua ya 16 bora, na kuingia droo ya raundi ya muondoano ya timu 16 ambayo inatarajiwa kufanyika Desemba 14.
 Chelsea won their group along with the likes of Real Madrid, Barcelona, Bayern Munich and Atletico Madrid

 
 


Olympiacos 0-3 Arsenal: Olivier Giroud's superb hat-trick seals Champions League last-16It was a remarkable turnaround from Giroud as he went from almost being taken off injured to claiming the match ball






  







                                                                                                                                                                                                                                      
The Frenchman scored all three goals as Arsenal rescued their Champions League hopes with a vital victory in Athens on WednesdayArsenal manager Arsene Wenger celebrated in a reserved manner after his team rescued their Champions League campaign 

 

  






















 
Porto (4-2-3-1)
Casillas 7; Maxi Pereira 5, Maicon 7, Marcano 4, Martin Indi 6 ; Danilo 7, Imbula 6.5; Corona,7 Herrera, 6 Layun, 6.5 ; Brahimi 6
Subs
Ruben Neves for Maxi Pereira, 57 – 6.5
Aboubakar for Imbula, 57 – 7
Tello for Herrera, 70 – 6
Manager
Julen Lopetegui 5.5


Playmaker Oscar (left) controls the ball with Maicon keeping an eye on the Brazilian

 Chelsea star Eden Hazard sprints away with possession with three Porto players in pursuit

 Striker Diego Costa (left) was returned to the Chelsea starting XI and was a constant menace

 Wearing a protective mask, Chelsea's Nemanja Matic (right) keeps his eye on the ball

 Mourinho shakes Diego Costa's hand after the Spain international was replaced by John Obi Mikel
 kocha Jose Mourinho akimpa mkono wa pongezi Diego Costa baada ya kutoka na kumpa nafasi john obi mikel

 
Mchezaji willian akishangilia goli lililo hitimisha ushindi wa chelsea alilofunga katika dakika ya 52

 Kipindi cha kwanza cha mchezo
 


 

















No comments:

Post a Comment