Thursday 10 December 2015

Orodha kamili ya baraza jipya la mawaziri la Dk.Magufuli




Baada ya kimya cha zaidi ya siku 36   toka alipo apishwa novemba 5 mwaka huu kuwa Rais wa awamu ya Tano ya Jamhuri ya muungano ya Tanzania 
Mapema leo Rais Dk.John Magufuli ametaja baadhi ya mawaziri na manaibu waziri watakao kuwepo katika baraza lake la mawaziri amesema atakuwa na mawaziri 19  ingawa wizara ni 18. Mawaziri sita kati ya hao ni wanawake.
Dkt Magufuli amesema kuna nafasi nne za uwaziri ambazo bado anatafuta watu wanaofaa kuteuliwa.
Baadhi ya walioteuliwa ni:
  1. Wizara ya Mambo ya Ndani- Charles Kitwanga
  2. Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa - Husein Mwinyi
  3. Wizara ya Katiba na Sheria - Harrison Mwakyembe
  4. Wizara ya Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira - January Makamba
  5. Wizara ya Ardhi - William Lukuvi
  6. Wizara ya Mambo ya Nje, Jumuiya ya Afrika Mashariki na Kimataifa - Augustino Mahiga
  7. Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo - Nape Nnauye
  8. Wizara ya Maji na Umwagiliaji - Prof Makame Mbarawa
  9. Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi - Mwigulu Nchemba
  10. Wizara ya Afya na Ustawi wa jamii - Ummy Mwalimu
  11. Wizara ya Nishati na Madini - Sospeter Muhongo
  12. Wizara ya Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu- Jenista Mhagama
  13. Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji - Charles Mwijage
  14. Wizara ya ofisi ya Rais, Utumishi na utawala bora (ina mawaziri wawili): Simbachawene na Kairuki
  15. Wizara ya Sayansi, Teknolojia, Elimu na Ufundi Waziri - bado hajapatikana
  16. Wizara ya Maliasili na Utalii Waziri - bado hajapatikana
  17. Waziri wa Fedha na Mipango Waziri - bado hajapatikana
  18. Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Waziri - bado hajapatikana

No comments:

Post a Comment