Sunday 27 December 2015

Huu ndio ujumbe wa Aliyekuwa mgombea wa urais kupitia UKAWA Edward Lowasa katika ukurasa wake wa Facebook(+picha)













Ndugu zangu,naendelea kumshukuru Mungu kwa kila jambo. Nikiwa shambani kwangu Mzeri, Handeni nikichunga mifugo yangu naona miujiza ya Mungu ikitendeka. Mazingira ya asili ni zawadi kuu aliyotukarimu Mwenyenzi Mungu. Kila mmoja wetu kwa nafasi yake amshukuru Mungu kwa kuyathamini, kuyalinda na kuyatunza mazingira popote alipo
 










No comments:

Post a Comment