Monday 21 December 2015

MKEMIA mkuu wa serikali Professa samweli Manyele amesema asilimia 49 ya matokeo ya uchunguzi ya makosa ya vinasaba DNA yanayowasilishwa yanaonesha baba si mzazi halali wa mtoto .



 
MKEMIA mkuu wa serikali Professa samweli Manyele amesema asilimia 49 ya matokeo ya uchunguzi ya makosa ya vinasaba DNA yanayowasilishwa yanaonesha baba si mzazi halali wa mtoto .
Professa samweli amesema hayo wakati akizungumza na waandishi na City leo jijini Dar es salaam  baada ya kufungua mkutano  wa wawakala  wa mazingira.
Amesema kesi nyingi wanazo zipokea katika maabara   zinahusu sampuli  ya vinasaba  kwa mwaka zinaonyesha asilimia 49 kati ya asilimia 100 zinaonyesha kuwa baba si mzazi halali wa mtoto.
Aidha manyele ameongeza kuwa mikoa ya kanda ya ziwa Arusha,Dar es salaam, na Mbeya  ndiyo inayoongoza  kwa matokeo ya uchunguzi huo wa makosa ya kinasaba..


















No comments:

Post a Comment