Monday 28 December 2015

MWANDISHI wa habari maarufu nchini Syria Naji Jerf amefariki dunia baada ya kupigwa risasi mchana kweupe na mtu asiejulikana.



 
MWANDISHI wa habari maarufu nchini Syria Naji Jerf  amefariki dunia baada ya kupigwa risasi mchana kweupe na mtu asiejulikana nchini  uturuki
Hii ni mara ya tatu sasa  kutokea kuuawa kwa  waandishi wa habari ndani ya miezi mitatu  ndani ya nchi hiyo
Naji jerf  Mhariri wa gazeti la kila mwezi la Hintah  ambaye anafahamika kwa kipindi chake ambacho kinaelezea  uovu na mateso yanoyofanywa na kundi la dola la kislaam IS  amepigwa risasi na kufariki dunia   katika mji wa Gaziantep nchini Uturuki
Kifo chake kimeripotiwa na umoja wa wanndishi wa habari ambao alikuwa akifanya nao  kazi

No comments:

Post a Comment