Tuesday 29 December 2015

RAIS wa Uturuki Rechep Edgon amefanya ziara nchini Saudi Arabia, kwa lengo la kutafuta suluhu kuhusiana na mgogoro wa Syria




RAIS wa Uturuki Rechep  Edgon  amefanya ziara  nchini  Saudi Arabia,  kwa lengo la  kutafuta  suluhu kuhusiana na  mgogoro wa Syria

Edgon amepokelewa na  mfalme wa Saudia salman bin Abdil azizi, akiambatana na waziri wake wa mambo ya nje
Edgon  amezungumza kabla  ya  kuwasili mji mkuu wa Saudi Arabia  kuwa  lengo la kwenda  Riadhi ni kutaka kutafuta muafaka na kushauriana kuhusu mgogoro  wa kisiasa wa Syria

Ameongeza kuwa kwa  hatua  ya Uturuki kushirikiana na Saudia Arabia,  kutasaidia  kwa kiasi kikubwa  kupata  amani  ya kudumu  nchini Syria


No comments:

Post a Comment