Tuesday 29 December 2015

Waziri wa wa ardhi nyumba maendeleo ya makazi William lukuvi leo ametembelea ofisi za wizara



Waziri wa wa ardhi nyumba maendeleo ya makazi   William lukuvi  leo ametembelea ofisi za wizara hiyo    upande wa huduma kwa wateja ili kujiridhisha na huduma zinazo tolewa kwa wananchi.
Waziri Lukuvi pia  amepata nafasi ya kusikiliza malalamiko ya wateja  kucheleweshewa hati zao ambapo ametoa amri kwa makamishna wa ardhi  kutekeleza wajibu wao kwa wakati.
Aidha waziri ameagiza kuanzisha njia ambayo itayo msaidi mwananchi aishie mbali na huduma hizo kuanzishwa kwa mtandao uatakaomuwezesha kuuliza maswali  nakuagizwa kwa ofisi zote za kanda kufunga mitadao.

No comments:

Post a Comment