Monday 28 December 2015

Wizara ya Nishati na Madini imewakaribisha watanzania kuwekeza katika sekta ya uzalishaji umeme hapa nchini.



Wizara ya Nishati na Madini imewakaribisha watanzania kuwekeza katika sekta ya uzalishaji umeme hapa nchini.
 Msemaji wa Wizara hiyo Badra Masoud amewataka watanzania wenye  uwezo wa kuzalisha umeme kujitokeza kuwekeza katika sekta hiyo.
Amefafanua kuwa shirika la umeme nchini Tanzania Tanesco-litakuwa na hali  nzuri endapo  wawekazaji watatumia nafasi hiyo itakayosaidia kurahisisha maisha ya watanzania kwa kupunguza bei ya umeme

No comments:

Post a Comment