Tuesday 29 December 2015

Zoezi la kuweka alama ya X kwa nyumba mbazo zipo katika bonde la mto msimbazi kata ya hananasifu limeanza leo



 http://il6.picdn.net/shutterstock/videos/2837119/thumb/2.jpg
Zoezi la kuweka alama ya  X kwa nyumba mbazo zipo katika bonde la mto msimbazi   kata ya hananasifu limeanza leo ambapo  tayari nyumba zaidi ya 478 zimewekwa alama hiyo kwa ajili ya kubomolewa .
Wakizungumza  na waandishi wa habari waliofika eneo la  msimbazi jijini Dar es salaam   wahanga walioathirika na zoezi hilo  wametoa malalamiko tofauti juu ya  hatua hiyo ambapo wengi wao wamedai kutopatiwa viwanja mbadala.Aidha muhanga mwingine Elizabeth   Masawe amedai kuwa tokea aliponunua kiwanja hicho eneo hilo lilikuwa halijapimwa.

No comments:

Post a Comment