Halmashauri
ya jiji la Mwanza imefanikiwa kuokoa zaidi ya shilingi Bilioni moja
baada ya kupunguza matumizi yasiyo ya lazima tangu Januari mwaka huu
Mkurugenzi wa jiji la Mwanza, Adam Mgoyi amesema uamuzi wa kupunguza matumizi yasiyo ya lazima ulifikiwa ili kutekeleza agizo la Rais John Magufuli linalotaka ifikapo Juni 30 mwaka huu tatizo la madawati liwe limemalizika.
No comments:
Post a Comment