Hata
hivyo washitakiwa hao wamekwama kwa mara nyingine tena kupewa dhamana na
kurudishwa rumande baada ya upande wa jamhuri kuwasilisha hati ya
mapendekezo ya kukata rufaa ya kupinga uamuzi wa kufutiwa shitaka la
nane (8) la utakatishaji fedha.
Kesi hiyo imehairishwa mpaka tarehe 29/4/2016 ambapo itasikilizwa tena katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Emirius Mcharo na mwendesha mashtaka mwandamizi wa serikali Herman Tibabyekomia.
Kesi hiyo imehairishwa mpaka tarehe 29/4/2016 ambapo itasikilizwa tena katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Emirius Mcharo na mwendesha mashtaka mwandamizi wa serikali Herman Tibabyekomia.
No comments:
Post a Comment