- Divock Origi amefunga magoli manne kwenye mechi tatu zilizopita alizoichezea Liverpool baada ya kushindwa kufunga goli kwenye mechi tisa kabla ya hizo.
- James Milner kwasasa ndiyr mchezaji aliyehusika kwenye magoli mengi ya Liverpool zaidi ya mchezaji mwingine yeyote kwenye msimu wa 2025-16 (amefunga magoli 19 na assists 12)
- Liverpool haijapoteza mchezo wowote nyumbani dhidi ya timu za Ujerumani kwenye michuano ya Ulaya competition (W11 D3)
- Magoli yote manne ya Liverpool yalitokana na mashuti manne pekee yaliyolenga lango kwenye mchezo huo.
- Kikosi cha Klopp kimeruhusu magoli matatu kwenye uwanja wa Anfield kwa mara ya sita katika historia ya klabu kwenye michuano ya Ulaya.
- Aubameyang sasa amefungia Borussia Dortmund magoli 37 kwenye mechi 44 za msimu huu.
No comments:
Post a Comment