Michuano ya Uefa Europa league nusu fainali imeendelea jana kwa na kukutanisha timu ya Liverpool na Villarreal uliochezwa
nchini hispania ambapo Villarreal kuibuka kidedea kwa ushindi wa goli 1 kwa 0 mchezo mwingine ulipigwa kati ya Shakhtar Donetsk na sevilla ambao ulimalizika kwa sare ya goli 2-2.
Timu hizo zitarudiana tarehe 5 mei mwaka huu
Villarreal (4-4-2):
Asenjo 6; Gaspar 6, Bailly 7 (Musacchio 76mins), Ruiz 7, Costa 6; Dos
Santos 6 (Castillejo 72, 6), Bruno 7, Pina 6, Suarez 6; Soldado 6
(Adrian 74, 6.5), Bakambu 6.
Unused subs: Areola, Samuel, Rukavina, Trigueros.
Booked: Costa.
Goal: Adrian 90.
Manager: Marcelino 6.
Liverpool (4-3-3):
Mignolet 7; Clyne 7, Toure 7, Lovren 7, Moreno 6; Milner 6, Lucas 6,
Allen 6; Lallana 6, Firmino 6 (Benteke 90), Coutinho 6 (Ibe 46, 6).
Unused subs: Chirivella, Skrtel, Smith, Sturridge, Ward.
Manager: Jurgen Klopp 6.
Referee: Damir Skomina 7.
No comments:
Post a Comment