Sunday 15 May 2016

Mashabiki wa Arsenal wasababisha kocha wenger kusema haya.

 
Mkataba wa Wenger unaisha mwishoni mwa msimu wa mwaka 2016-17 na amekuwa chini ya shinikizo toka kwa mashabiki kutokana na kushuhudia msimu mwingine ukipita bila kombe lolote.

 Mara ya mwisho Arsenal ilichukua ubingwa wa EPL mwaka 2004.
1462031437907_lc_galleryImage_Britain_Football_Soccer_A
1462035595886_lc_galleryImage_Arsenal_fans_in_the_stand

No comments:

Post a Comment