Wednesday 26 July 2017

Spika Ndugai atoa kauli kuhusu Wabunge 8 wa CUF waliofukuzwa uanachama.


Related image
Spika wa Bunge, Job Ndugai ameridhia barua ya kufukuzwa uanachama Wabunge 8 wa CUF


Atangaza nafasi zao kuwa wazi na kumuachia Msajili wa vyama vya siasa kuendelea na taratibu zinazostahiki.



nd.jpeg

No comments:

Post a Comment