Tuesday 22 August 2017

Ali Kiba arudisha majibu haya kwa Diamond Platnamz kuhusu Fresh Remix.

ALI KIBA.
Baada ya kutoka kwa wimbo wa Fid Q wa Fresh Remix aliomshirikisha Diamond Platnamz  na RayVanny Uhasama kati ya Diamond na Alikiba umepamba moto baada ya diamond kuimba mashairi yalioonesha wazi yana mshana Mpinzani wake katika Game ya Bongo Fleva Ali Kiba. 


Hatimaye Kiba ametumia Twitter kujibu diss hiyo:




No comments:

Post a Comment