Wednesday 9 August 2017

PICHA:Hiki ndicho walichokifanya Real Madrid V Manchester united katika Uefa Super Cup.

Real Madrid 2-1 Manchester United: Super Cup RESULT
Manchester United walizidiwa nguvu na mabingwa wa Uhispania na Ulaya Real Madrid kwenye mechi ya Kombe la Super Cup la Uefa iliyochezewa Skopje, Macedonia chini ya joto kali.

Madrid walidhibiti mchezo huo kuanzia kipenga cha kwanza kilichopulizwa.
Walijipata kifua mbele pale Casemiro alipowafungia, muda mfupi baada ya kugonga mwamba wa goli.
Fellow Brazilian Marcelo was quick to celebrate with Casemiro after the midfielder had put Real on top in Skopje
Waliongeza la pili kupitia Isco aliyefunga akiwa hatua nane kutoka kwenye goli baada ya kubadilishana pasi na Gareth Bale, ambaye alichezeshwa safu ya mashambulizi badala ya Cristiano Ronaldo.
Isco bends the ball past United keeper David de Gea as Real took a two-goal lead in the Super Cup during the second half
Mshambuliaji wa United aliyenunuliwa £75m Romelu Lukaku alikomboa bao moja lakini Marcus Rashford akapoteza fursa nzuri ya kufunga kwa kuutuma mpira nje.
Madrid wamekuwa timu ya kwanza kufanikiwa kutetea Kombe la Super Cup la Uefa tangu 1990.
Marcelo kisses the Super Cup trophy after Real Madrid beat Manchester United 2-1 in the curtain-raiser in Skopje
Mechi hiyo ilichezewa katika uwanja chini ya joto kali la nyuzi joto 30C katika mji mkuu huo wa Macedonia.
The heat in Skopje was causing problems for the English side, here Lindelof tries to keep cool with a squirt of water
Wachezaji walipewa muda mara mbili kupoesha joto, kama chini ya utaratibu wa Uefa.
Red Devils wametumia £146m majira ya joto kununua mshambuliaji wa Everton Lukaku (£75m), kiungo wa kati wa Chelsea Nemanja Matic (£40m) na beki wa Benfica Victor Lindelof (£31m) wakijaribu kujiimarisha baada ya kumaliza nambari sita ligini msimu uliopita.
Wachezaji hao watatu walichezeshwa na meneja Jose Mourinho dhidi ya Madrid.
Cristiano RonaldoHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionCristiano Ronaldo aliingia nafasi ya Karim Benzema baada ya dakika 83
Upande wa Madrid, ni Ronaldo pekee ambaye alikuwa hayupo kwenye kikosi kilichoanza mechi ukilinganisha na kikosi kilichocheza fainali ya Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya dhidi ya Juventus.
United walihangaika dhidi ya Madrid, hasa kipindi cha kwanza ambapo Madrid walitawala kwa kasi na pasi.
Real Madrid walilaza Manchester United katika kombe la Super CupHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionMourinho alitumia vipindi vya mapumziko ya kutuliza joto kuwashauri wachezaji wake

No comments:

Post a Comment