Monday 16 October 2017

BARUA:Mwenyekiti wa kampeni ACT- Wazalendo atoa sababu ya kujiuzulu.

Image result for Samson Mwigamba
Samson Mwigamba akiwa katikati.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kampeni na Uchaguzi, Taifa na Kamati kuu ya ACT Wazalendo, Samson Mwigamba amejiuzulu na kubaki mwanachama wa kawaida.


No comments:

Post a Comment