Wednesday 31 January 2018

Kitita ilichotoa Chelsea kupata saini ya beki Emerson Palmieri wa AS Roma.

Emerson Palmieri has completed his £17.5million transfer from Roma to Chelsea
Chelsea imefanikiwa kumnasa beki kisiki wa AS Roma, Emerson Palmieri.

Tayari Emerson ameanguka wino kuichezea Chelsea kwa miaka minne na nusu.
Upon signing, Emerson said: 'I came here because it’s a great team with a great history'
Chelsea imemwaka kitita cha pauni million 17.5 kumpata beki huyo huku ikiwa na moango wa kuachana na David Luiz.

Luiz raia wa Brazil anaonekana kutokuwa katika maelewano mazuri na Kocha Antonio Conte aliyeamua kumsajili Emerson ambaye pia ni raia wa Brazil.


Emerson, who will wear No 33, poses with Chelsea director Marina Granovskaia
Emerson Palmieri akiwa na Mkurugenzi wa Chelsea Marina Granovskaia.

No comments:

Post a Comment