Hoteli hiyo ya nyota tatu ni kati ya hoteli bora kabisa kwa Shelisheli ukiondoa zile ambazo zaidi hutumika kwa ajili ya utalii.
Yanga ipo nchini humo kwa ajili ya mechi yake ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya St Lois. Katika mechi ya kwanza, Yanga ilishinda kwa bao 1-0.
No comments:
Post a Comment