Friday 18 December 2015

Ajali mbaya ya basi yatokea Iringa yauwa watu 12 na 18 wajeruhiwa

 Ajali iliyotokea leo December 18 2015 maeneo ya Kilolo Iringa ajali ambayo Jeshi la Polisi limethibitisha kuwa watu 12 wamefariki na wengine 18 kujeruhiwa, mazingira ya ajali yanaonesha lori la mizigo lilipoteza mwelekeo na kuligonga basi hilo. Basi hilo la Kampuni ya New Force lilikuwa limetokea Dar es Salaam kuelekea Tunduma, limegongana na  lori la mbao lilitoka Njombe kuelekea Dar es Salaam

IMG-20151218-WA0132

IMG_20151218_154446


IMG_20151218_154336

No comments:

Post a Comment