Sunday 20 December 2015

Hivi ndivyo wachezaji wa chelsea walivyo muaibisa Jose mourinho

Ushindi wa  3-1 dhidi ya Sunderland umetosha kuthibitisha ile kauli ya mwisho aliyotoa Jose Mourinho alipoulizwa na waandishi wa habari kwa nini Timu ya chelsea haipati matokeo mazuri alipojibu kuwa na kusema {Wachezaji wake wana msaliti wanapokuwa uwanjani ) chelsea imepata ushindi huo ikiwa ni mechi yao ya kwanza bila Jose Mourinho aliyefutwa Alhamisi.

Louis van Gaal admitted he's worried for his future after Norwich plunged Manchester United into deeper crisis
                          Louis van Gaal

Uwanjani Old Trafford, mambo yamemwendea mrama meneja Louis van Gaal baada ya vijana wake wa Manchester Utd kukabidhiwa kichapo cha 2-1 na Norwich City.
Kwingineko uwanjani Goodison Park, Leicester wameendelea kushangaza ulimwengu wa soka kwa kukwamilia kileleni EPL kwa kulaza Everton 3-2.
Kufuatia kushindwa Jumamosi, Manchester United sasa wamo nambari tano kwenye jedwali wakiwa na alama 29 sawa na Spurs ambao wamo nambari nne lakini wanawazidi kwa magoli.
United wamo alama tisa nyuma ya Leicester walio kileleni wakiwa na alama 38. Nambari mbili na tatu zinashikiliwa na Arsenal (alama 33) na Manchester City (alama 32), klabu zote mbili zikikutana Jumatatu.

MATOKEO

  • Chelsea 3-1 Sunderland
  • Everton 2-3 Leicester
  • Man Utd 1-2 Norwich
  • Southampton 0- 2 Tottenham
  • Stoke 1-2 Crystal Palace
  • West Brom 1 -2 Bournemouth


The Dutch manager (left) was joined in the directors' box by club legend Didier Drogba (centre) and owner Roman Abramovich
Guus Hiddink , Didier Drogba (katikati) na Mmiliki wa Timu wa chelsea Roman Abramovich wakitizama mechi

Branislav Ivanovic rises above Sebastian Coates in the crowded penalty area to put Chelsea ahead with a bullet header on five minutes

The powerful Serbian (centre) watches on as his header beats helpless Sunderland goalkeeper Costel Pantilimon to make it 1-0

 The Chelsea right back is mobbed by his team-mates as they celebrate the early goal against Sunderland at Stamford Bridge on Saturday

 Chelsea we two goals ahead just eight minutes later when Pedro fired an effort past Pantilimon after finding space in the Sunderland area

The Chelsea players swarm around Pedro (hidden) as the Blues go in search of their first win in four Premier League games

 Oscar gave Chelsea a three-goal advantage from the penalty spot just five minutes into the second half at Stamford BridgeBrazilian midfielder Oscar made it 3-0 to Chelsea from the spot after Willian had been tripped by Pantilimon in the penalty area

 Sunderland striker Fabio Borini roars with celebration as after reducing deficit on 53 minutes as he heads back to halfway with the ball

 Chelsea fans showed their support for Jose Mourinho, who was sacked as the club's manager on Thursday afternoon, before kick-off

 One sign the home crowd described the Chelsea players as Judases as the supporters jeered their team and sung Jose Mourinho songs

 kikosi cha the blues

Chelsea XI (4-2-3-1): Courtois 6; Ivanovic 7, Zouma 7, Terry 6.5, Azpilicueta 7; Fabregas 7 (Mikel 71 6), Matic 7; Willian 7.5, Oscar 8.5 (Ramires 82 6), Pedro 8; Costa 5 (Remy 75 6)
Subs not used: Begovic, Rahman, Cahill, Traore
Scorers: Ivanovic 5, Pedro 13, Oscar 50
Booked: Matic

Sunderland XI (3-4-1-2): Pantilimon 5; Coates 4 (Johnson 23 6.5), O’Shea 5, Kaboul 5.5; Jones 5, M’Vila 6.5, Rodwell 6, Van Aanholt 6; Toivonen 6 (Borini 46 7); Watmore 6 (Graham 79 6), Defoe 6
Subs not used: Mannone, Yedlin, Gomez, Fletcher
Scorers: Borini 53
Booked: Pantilimon, Rodwell, O'Shea
Referee: Roger East 6.5
Man of the match: Oscar
 Msimamo wa ligi mara baada ya michezo ya leo

kesho jumapili pia kuna baadhi ya meichezo itaendelea   

13:30 Watford  vs Liverpool 

16:00 Swansea vs West Ham

Jumatatu  21 December

20:00 Arsenal vs Man City

No comments:

Post a Comment