Mazembe ambao ni washindi wa CAF Klabu Bingwa Afrika, watacheza mechi ya kwanza siku ya Jumapili dhidi ya mshindi wa siku ya Alhamisi kati ya Sanfreece Hiroshima na Aukland City FC.
Miaka mitano iliyopita Mazembe waliushangaza ulimwengu kwa kuingia fainali lakini walishindwa dhidi ya Inter Milan.
Fifa wame tweet picha hii ya Mazembe wakiwasili.

No comments:
Post a Comment