Lakini Taarifa zinaeleza kwamba Lwandamina amekwenda kwao Zambia.
Imeelezwa Lwandamina ana mpango wa kujiunga na Zesco ya kwao Zambia.
Kuna taarifa kwamba hajalipwa mshahara wa miezi mitatu, hivyo ni kama amesusa baada ya kutotekelezewa ahadi zake.
Kuna taarifa kwamba hajalipwa mshahara wa miezi mitatu, hivyo ni kama amesusa baada ya kutotekelezewa ahadi zake.
No comments:
Post a Comment