Friday 18 December 2015

SERIKALI imesema bomoa bomoa inayoaendelea katika manispaa ya Kinondoni ni zoezi endelevu litakalo usisha maeneo yote ya mabondeni



SERIKALI imesema ,  bomoa bomoa inayoaendelea  katika  manispaa ya Kinondoni Jijini humo, ni  zoezi endelevu na kuwa linatahusisha maeneo yote ya  mabonde
 
Afisa habari wa Manispaa ya Kinondoni Sebastia Muhohela amesema , wananchi hawana budi kuondoka katika maeneo hayo kwaajili ya  kupisha zoezi hilo
 
Zoezi hilo Linasimamiwa na Baraza la taiafa la mazingira  NEMC  kwa kushirikiana na Wizara ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi,ili  kuhakikisha maeneo hayo yanakuwa wazi

No comments:

Post a Comment